AISE WABONGO NOMA SASA...NDIZI IMESHAKUWA GUMZO SASA TAZAMA HAPA WASANII WA BONGO PAMOJA NA WANASIASA WAKILA NDIZI:
Mtangazaji wa MKASI TV Salama Jabir kupitia page yake ya instagram @ecejay amepost picha ya mastaa kadhaa wa bongo wakiwemo wasanii D-Knob, Godzilla Producer Marco Chali na wengine wakiungana na wabongo kama Mbunge Zitto Kabwe na wengine duniani kupinga ubaguzi wa mchezaji wa Barcelona Dani Alves wa kutupiwa ndizi uwanjani.
No comments: