MWANZO MZURI KWA RYAN GIGGS: MAN U 4-NORWICH 0, MASHABIKI WAMTAKA AENDELEE KUINGOZA MAN U.
Kete ya kwanza ya Ryan Giggs kama meneja wa muda wa Manchester United imeanza vyema usiku wa Jumamosi kwa mashetani wekunda kuichapa kichapo cha mwezi Norwich.
Giggs aliteuliwa kuwa kocha wa muda wa timu hiyo baada ya David Moyes, kutimuliwa
No comments: